This is the place where you find yourself charm and happy..So pay a visit every single day
Thursday, 17 July 2008
RONALDO"HERE SOON"
Rais wa club ya Real Madrid Ramon Calderon amewaambia mashabiki wa timu hiyo kuwa Ronaldo yupo njiani kutua katika klabu hiyo hivi karibuni.Raisi huyo wa Madrid aliyasema hayo bila kutoa maelezo zaidi juu ya lini winga huyo anaweza kutua rasmi Madrid.
No comments:
Post a Comment