Thursday, 17 July 2008

RONALDO"HERE SOON"

Rais wa club ya Real Madrid Ramon Calderon amewaambia mashabiki wa timu hiyo kuwa Ronaldo yupo njiani kutua katika klabu hiyo hivi karibuni.Raisi huyo wa Madrid aliyasema hayo bila kutoa maelezo zaidi juu ya lini winga huyo anaweza kutua rasmi Madrid.

No comments: