Thursday, 17 July 2008

kwaheri Arsenal f.c!!!!!!!!!!

kiungo alieichezea arsenal kwa mda usiopungua miaka 6 Gilberto Silva amekamilisha uhamisho wake kwena panathenaiko ya ugiriki kwa kitita cha paundi milioni 8.huyu ni mchezaji wa 3 kuondoka baada ya jana kiungo kutoka Belarous A.Hleb kutimkia F.C.Bercelona.

No comments: