
kadri watu wanavvyozidi kuwa pamoja ndivyo wanavyozidi kuzoeana,Bush na al marhum Saddam Hussein walikua marafiki wakupigiwa mfano,kama ilivyo siku hazigandi,Bush akamchenjia Saddam kwa kumfungulia kesi isiyo na ushahidi na kulazimisha Saddam auwawe bila hatia huku akidai anamiliki silaha za hatari nchini Iraq.
No comments:
Post a Comment