This is the place where you find yourself charm and happy..So pay a visit every single day
Monday, 7 April 2008
prf Jay angatuka!
Msanii wa miondoko ya kizazi kipya Proffesa Jay juzi alizindua Album yake mpya katika ukumbi wa Dimond Jubelee akisindikizwa na wasanii wenzake kibao wakiwemo A.Y,Mwana FA pamoja na wengine wengi.prf Jay anatamba na wimbo wake mpya ujulikanao kama "Nan'gatuka".
No comments:
Post a Comment