Monday, 7 April 2008

prf Jay angatuka!

Msanii wa miondoko ya kizazi kipya Proffesa Jay juzi alizindua Album yake mpya katika ukumbi wa Dimond Jubelee akisindikizwa na wasanii wenzake kibao wakiwemo A.Y,Mwana FA pamoja na wengine wengi.prf Jay anatamba na wimbo wake mpya ujulikanao kama "Nan'gatuka".

No comments: