
Thursday, 17 July 2008
RONALDO"HERE SOON"

kwaheri Arsenal f.c!!!!!!!!!!
Sunday, 13 July 2008
Friday, 30 May 2008
Enzi za urafiki wa bush na saddam

kadri watu wanavvyozidi kuwa pamoja ndivyo wanavyozidi kuzoeana,Bush na al marhum Saddam Hussein walikua marafiki wakupigiwa mfano,kama ilivyo siku hazigandi,Bush akamchenjia Saddam kwa kumfungulia kesi isiyo na ushahidi na kulazimisha Saddam auwawe bila hatia huku akidai anamiliki silaha za hatari nchini Iraq.
Monday, 7 April 2008
sio inshu maselaaa!
S
Sio inshu hata kidogo eti unampotezea kiumbe mwezako uhai wake eti kwasababu ya nyama!Kama nyama zipo nyingi tena tamu kuliko za binaadamu,iiweje unazikacha zote hizo na kung'ng'nia kupoteza maisha ya vichanga visivyo na hatia yoyote ile?Inasikitisha kupita maelezo si tu kwa kuona bali hata kusikia upuuzi huo kwani ni kinyume na haki za kabinadamu.Tubadilike jamani

prf Jay angatuka!
MUONEKANO WA NDANI WA KAABA
Subscribe to:
Posts (Atom)